Ayubu 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Alipokuwa bado anaongea, mwingine akaja na kusema: “Wakaldayo+ walijipanga katika makundi matatu, wakavamia ngamia na kuwachukua, nao wakawaua watumishi kwa upanga. Nimeponyoka mimi peke yangu, nami nimekuletea habari.”
17 Alipokuwa bado anaongea, mwingine akaja na kusema: “Wakaldayo+ walijipanga katika makundi matatu, wakavamia ngamia na kuwachukua, nao wakawaua watumishi kwa upanga. Nimeponyoka mimi peke yangu, nami nimekuletea habari.”