Ayubu 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Huyu alipokuwa bado anasema, mwingine akaja na kusema: “Wakaldayo+ walifanyiza vikosi vitatu, wakawakimbilia ngamia na kuwachukua, nao wakawapiga na kuwaua watumishi kwa makali ya upanga; nami nikaponyoka, mimi peke yangu, ili nikuambie.”
17 Huyu alipokuwa bado anasema, mwingine akaja na kusema: “Wakaldayo+ walifanyiza vikosi vitatu, wakawakimbilia ngamia na kuwachukua, nao wakawapiga na kuwaua watumishi kwa makali ya upanga; nami nikaponyoka, mimi peke yangu, ili nikuambie.”