Mhubiri 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtu akizaa watoto mia moja, aishi miaka mingi na kuzeeka, lakini hafurahii vitu vyake vizuri kabla hajaingia kaburini, sina budi kusema kwamba mtoto aliyefia tumboni ni afadhali kuliko mtu huyo.+
3 Mtu akizaa watoto mia moja, aishi miaka mingi na kuzeeka, lakini hafurahii vitu vyake vizuri kabla hajaingia kaburini, sina budi kusema kwamba mtoto aliyefia tumboni ni afadhali kuliko mtu huyo.+