7 Wakati huo zawadi italetwa kwa Yehova wa majeshi,
Kutoka kwa taifa lenye watu warefu na walio na ngozi laini,
Kutoka kwa watu wanaoogopwa kila mahali,
Kutoka kwa taifa lenye nguvu, linaloshinda,
Ambalo nchi yake imefagiliwa na mito,
Mpaka mahali pa jina la Yehova wa majeshi, Mlima Sayuni.”+