Isaya 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini faida yake na malipo yake yatakuwa kitu kitakatifu kwa Yehova. Hayatahifadhiwa wala kuwekwa akiba, kwa sababu malipo yake yatakuwa kwa ajili ya wale wanaokaa mbele za Yehova, ili wale na kushiba na kuvaa mavazi ya kifahari.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 23:18 ip-1 254 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 23:18 Unabii wa Isaya 1, uku. 254
18 Lakini faida yake na malipo yake yatakuwa kitu kitakatifu kwa Yehova. Hayatahifadhiwa wala kuwekwa akiba, kwa sababu malipo yake yatakuwa kwa ajili ya wale wanaokaa mbele za Yehova, ili wale na kushiba na kuvaa mavazi ya kifahari.+