Isaya 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na faida yake na malipo+ yake lazima viwe kitu kitakatifu kwa Yehova. Havitawekwa akiba, wala kurundikwa, kwa sababu malipo yake yatakuja kuwa ya wale wanaokaa mbele za Yehova,+ kwa ajili ya kula na kushiba na kwa ajili ya mavazi yenye fahari.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 23:18 ip-1 254 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 23:18 Unabii wa Isaya 1, uku. 254
18 Na faida yake na malipo+ yake lazima viwe kitu kitakatifu kwa Yehova. Havitawekwa akiba, wala kurundikwa, kwa sababu malipo yake yatakuja kuwa ya wale wanaokaa mbele za Yehova,+ kwa ajili ya kula na kushiba na kwa ajili ya mavazi yenye fahari.+