- 
	                        
            
            Isaya 34:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
16 Tafuteni katika kitabu cha Yehova na mkisome kwa sauti:
Hakuna hata mmoja wao atakayekosekana;
Hakuna hata mmoja wao atakayekosa mwenzake,
Kwa maana kinywa cha Yehova ndicho kimeamuru,
Na roho yake ndiyo imewakusanya pamoja.
 
 -