Yeremia 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema, ‘Endeleeni, ongezeni dhabihu zenu nzima za kuteketezwa kwenye dhabihu zenu nyingine, na mle nyama hizo ninyi wenyewe.+
21 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema, ‘Endeleeni, ongezeni dhabihu zenu nzima za kuteketezwa kwenye dhabihu zenu nyingine, na mle nyama hizo ninyi wenyewe.+