Yeremia 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha majiji ya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu wataenda kwa miungu wanayoitolea dhabihu* na kuomba msaada,+ lakini kwa vyovyote vile haitawaokoa watakapopatwa na msiba.
12 Kisha majiji ya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu wataenda kwa miungu wanayoitolea dhabihu* na kuomba msaada,+ lakini kwa vyovyote vile haitawaokoa watakapopatwa na msiba.