Yeremia 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na kwa manabii wa Yerusalemu nimeona mambo mabaya sana. Wanafanya uzinzi+ na kutembea katika uwongo;+Wanawatia moyo* watenda maovu,Nao hawageuki na kuuacha uovu wao. Wote ni kama Sodoma kwangu,+Na wakaaji wake ni kama Gomora.”+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 23:14 Mnara wa Mlinzi,3/1/1994, kur. 8-9
14 Na kwa manabii wa Yerusalemu nimeona mambo mabaya sana. Wanafanya uzinzi+ na kutembea katika uwongo;+Wanawatia moyo* watenda maovu,Nao hawageuki na kuuacha uovu wao. Wote ni kama Sodoma kwangu,+Na wakaaji wake ni kama Gomora.”+