14 Na katika manabii wa Yerusalemu nimeona mambo yenye kuchukiza sana,+ kufanya uzinzi+ na kutembea katika uwongo;+ nao wameitia nguvu mikono ya watenda-maovu ili wasirudi,+ kila mmoja kutoka katika ubaya wake. Kwangu wote wamekuwa kama Sodoma,+ na wakaaji wake kama Gomora.”+