Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ndipo Yehova akasema: “Kilio cha malalamiko juu ya Sodoma na Gomora+ ni kikubwa, na dhambi yao ni nzito sana.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa maana mzabibu wao unatoka katika mzabibu wa Sodoma

      Na kutoka katika matuta ya Gomora.+

      Zabibu zao ni zabibu za sumu,

      Vishada vyao ni vichungu.+

  • Isaya 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sikieni neno la Yehova,+ enyi madikteta+ wa Sodoma.+ Tegeni sikio kwa sheria ya Mungu wetu, ninyi watu wa Gomora.

  • Yuda 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndivyo pia Sodoma na Gomora na majiji yaliyoyazunguka,+ baada ya hayo kuwa yamefanya uasherati kwa kuzidi mno na kwenda kufuatilia mwili kwa ajili ya matumizi yasiyo ya asili,+ katika namna ileile kama hao waliotangulia kutajwa, yamewekwa mbele yetu kuwa kielelezo cha kuonya+ kwa kupatwa na adhabu ya hukumu ya moto wa milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki