Yeremia 23:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Lakini msiutaje tena mzigo* wa Yehova, kwa maana mzigo* ni neno la kila mtu binafsi, nanyi mmeyabadili maneno ya Mungu aliye hai, Yehova wa majeshi, Mungu wetu.
36 Lakini msiutaje tena mzigo* wa Yehova, kwa maana mzigo* ni neno la kila mtu binafsi, nanyi mmeyabadili maneno ya Mungu aliye hai, Yehova wa majeshi, Mungu wetu.