Yeremia 23:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Lakini msiutaje tena+ mzigo+ wa Yehova, kwa maana kwa kila mmoja mzigo unakuwa ni neno lake mwenyewe,+ nanyi mmeyabadili maneno ya Mungu aliye hai,+ Yehova wa majeshi, Mungu wetu.
36 Lakini msiutaje tena+ mzigo+ wa Yehova, kwa maana kwa kila mmoja mzigo unakuwa ni neno lake mwenyewe,+ nanyi mmeyabadili maneno ya Mungu aliye hai,+ Yehova wa majeshi, Mungu wetu.