8 Kisha watu wote wakajibu kwa pamoja na kusema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya.”+ Mara moja Musa akarudi na kumwambia Yehova maneno ya watu.+
33 Na hawa ndio waliokuwa waimbaji,+ vichwa vya upande wa baba vya Walawi katika vyumba vya kulia chakula,+ wale ambao hawakupangwa katika zamu;+ kwa maana walikuwa na wajibu wa kuwa kazini mchana na usiku.+