Yeremia 24:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Yehova akaniuliza: “Unaona nini, Yeremia?” Basi nikasema: “Tini; tini nzuri ni nzuri sana, na tini mbaya ni mbaya sana, hivi kwamba haziwezi kuliwa.”+
3 Kisha Yehova akaniuliza: “Unaona nini, Yeremia?” Basi nikasema: “Tini; tini nzuri ni nzuri sana, na tini mbaya ni mbaya sana, hivi kwamba haziwezi kuliwa.”+