Yeremia 24:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Yehova akaniambia: “Unaona nini, Yeremia?” Basi nikasema: “Tini, zile tini nzuri zikiwa nzuri sana, na zile mbaya zikiwa mbaya sana, hivi kwamba haziwezi kuliwa kwa sababu ya ubaya.”+
3 Kisha Yehova akaniambia: “Unaona nini, Yeremia?” Basi nikasema: “Tini, zile tini nzuri zikiwa nzuri sana, na zile mbaya zikiwa mbaya sana, hivi kwamba haziwezi kuliwa kwa sababu ya ubaya.”+