-
Yeremia 26:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Ndipo wakuu na watu wote wakawaambia makuhani na manabii: “Mtu huyu hastahili hukumu ya kifo, kwa maana alizungumza nasi katika jina la Yehova Mungu wetu.”
-