Yeremia 26:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo wakuu+ na watu wote wakawaambia makuhani na manabii: “Hakuna hukumu ya kifo anayostahili mtu huyu,+ kwa maana alisema nasi katika jina la Yehova Mungu wetu.”+
16 Ndipo wakuu+ na watu wote wakawaambia makuhani na manabii: “Hakuna hukumu ya kifo anayostahili mtu huyu,+ kwa maana alisema nasi katika jina la Yehova Mungu wetu.”+