Yeremia 29:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Aliituma barua hiyo kwa mkono wa Elasa mwana wa Shafani+ na Gemaria mwana wa Hilkia, ambao Mfalme Sedekia+ wa Yuda aliwatuma kwenda Babiloni kwa Mfalme Nebukadneza wa Babiloni. Barua hiyo ilisema hivi:
3 Aliituma barua hiyo kwa mkono wa Elasa mwana wa Shafani+ na Gemaria mwana wa Hilkia, ambao Mfalme Sedekia+ wa Yuda aliwatuma kwenda Babiloni kwa Mfalme Nebukadneza wa Babiloni. Barua hiyo ilisema hivi: