Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baadaye kuhani mkuu Hilkia akamwambia mwandishi Shafani:+ “Nimepata kitabu cha Sheria+ katika nyumba ya Yehova.” Basi Hilkia akampa Shafani kitabu hicho, naye akaanza kukisoma.+

  • Yeremia 26:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Lakini Ahikamu+ mwana wa Shafani+ alimsaidia Yeremia, ili asitiwe mikononi mwa watu na kuuawa.+

  • Yeremia 39:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Nebuzaradani mkuu wa walinzi, Nebushazbani yule Rabsarisi,* Nergal-shareza yule Rabmagi,* na wakuu wote wa mfalme wa Babiloni wakawatuma watu 14 wamtoe Yeremia katika Ua wa Walinzi+ na kumkabidhi kwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ ili apelekwe nyumbani kwake. Basi akaishi pamoja na watu wengine.

  • Ezekieli 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na wazee 70 wa nyumba ya Israeli walikuwa wamesimama mbele ya vitu hivyo, naye Yaazania mwana wa Shafani+ alikuwa amesimama miongoni mwao. Kila mmoja wao alikuwa na chetezo chake mkononi mwake, na wingu la uvumba lenye manukato lilikuwa likipanda juu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki