-
Yeremia 40:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Hata kabla Yeremia hajageuka kuondoka, Nebuzaradani akamwambia: “Rudi kwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani,+ ambaye mfalme wa Babiloni amemweka juu ya majiji ya Yuda, nawe ukae pamoja naye miongoni mwa watu; au uende popote unapotaka.”
Ndipo mkuu wa walinzi akampa posho ya chakula na zawadi, akamruhusu aende zake.
-
-
Yeremia 41:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Ishmaeli mwana wa Nethania na wale watu kumi waliokuwa pamoja naye wakasimama na kumpiga kwa upanga Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani. Kwa hiyo akamuua mtu ambaye mfalme wa Babiloni alikuwa amemweka kuwa msimamizi nchini.
-