Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mfalme Nebukadneza wa Babiloni akamchagua Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ awasimamie watu aliowaacha katika nchi ya Yuda.+

  • Yeremia 40:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hata kabla Yeremia hajageuka kuondoka, Nebuzaradani akamwambia: “Rudi kwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani,+ ambaye mfalme wa Babiloni amemweka juu ya majiji ya Yuda, nawe ukae pamoja naye miongoni mwa watu; au uende popote unapotaka.”

      Ndipo mkuu wa walinzi akampa posho ya chakula na zawadi, akamruhusu aende zake.

  • Yeremia 41:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ishmaeli mwana wa Nethania na wale watu kumi waliokuwa pamoja naye wakasimama na kumpiga kwa upanga Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani. Kwa hiyo akamuua mtu ambaye mfalme wa Babiloni alikuwa amemweka kuwa msimamizi nchini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki