-
Yeremia 40:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Na alipokuwa bado hajaamua kurudi, Nebuzaradani akasema: “Rudi kwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani,+ ambaye mfalme wa Babiloni amemweka juu ya majiji ya Yuda, nawe ukae pamoja naye katikati ya watu; au popote ambapo ni sawa machoni pako kwenda, nenda.”+
Ndipo mkuu wa walinzi akampa posho ya chakula na zawadi na kumwacha aende zake.+
-