-
Yeremia 32:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Chukua hati hizi, hati hii ya ununuzi, iliyotiwa muhuri na ile hati nyingine isiyo na muhuri, nawe uziweke katika chombo cha udongo, ili zihifadhiwe kwa muda mrefu.’
-