Yeremia 32:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Chukua hizi hati, hii hati ya ununuzi, iliyotiwa muhuri, na ile hati nyingine iliyoachwa wazi,+ nawe uziweke katika chombo cha udongo, ili zidumu kwa siku nyingi.’
14 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Chukua hizi hati, hii hati ya ununuzi, iliyotiwa muhuri, na ile hati nyingine iliyoachwa wazi,+ nawe uziweke katika chombo cha udongo, ili zidumu kwa siku nyingi.’