Yeremia 32:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Nyumba na mashamba na mashamba ya mizabibu yatanunuliwa tena katika nchi hii.’”+
15 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Nyumba na mashamba na mashamba ya mizabibu yatanunuliwa tena katika nchi hii.’”+