Amosi 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+ Zekaria 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “‘Siku hiyo,’ asema Yehova wa majeshi, ‘kila mmoja wenu atamwalika jirani yake aje chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake.’”+
14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+
10 “‘Siku hiyo,’ asema Yehova wa majeshi, ‘kila mmoja wenu atamwalika jirani yake aje chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake.’”+