Yeremia 33:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 vivyo hivyo sitaukataa kamwe uzao wa* Yakobo na wa mtumishi wangu Daudi, hivi kwamba nisichukue kutoka kwa uzao wake* watawala wa wazao wa* Abrahamu, Isaka, na Yakobo. Kwa maana nitawakusanya mateka wao+ na kuwahurumia.’”+
26 vivyo hivyo sitaukataa kamwe uzao wa* Yakobo na wa mtumishi wangu Daudi, hivi kwamba nisichukue kutoka kwa uzao wake* watawala wa wazao wa* Abrahamu, Isaka, na Yakobo. Kwa maana nitawakusanya mateka wao+ na kuwahurumia.’”+