Yeremia 35:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Yehonadabu mwana wa Rekabu aliwaamuru wazao wake wasinywe divai, nao wamefuata maneno yake kwa kutokunywa divai mpaka leo hii, na hivyo wameitii amri ya babu yao.+ Hata hivyo, nimezungumza nanyi tena na tena,* lakini hamjatii.+
14 “Yehonadabu mwana wa Rekabu aliwaamuru wazao wake wasinywe divai, nao wamefuata maneno yake kwa kutokunywa divai mpaka leo hii, na hivyo wameitii amri ya babu yao.+ Hata hivyo, nimezungumza nanyi tena na tena,* lakini hamjatii.+