14 “Maneno ya Yehonadabu mwana wa Rekabu+ yametimizwa, ambayo aliwaamuru wanawe, wasinywe divai yoyote, nao hawajanywa yoyote mpaka leo hii, kwa sababu wameitii amri ya babu yao.+ Na kwa habari yangu, nimesema nanyi, nikiamka mapema na kusema,+ lakini hamkunitii mimi.+