26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+
30 Lakini uliwavumilia kwa miaka mingi+ nawe ukaendelea kutoa ushahidi+ juu yao kwa roho yako kupitia manabii wako, wala hawakutega sikio.+ Mwishowe ukawatia mikononi mwa watu wa nchi hizo.+
24 Lakini hawakusikiliza, wala hawakutega sikio lao,+ bali wakatembea katika mashauri kwa ukaidi wa moyo wao mbaya,+ hivi kwamba wakawa watu wa kuelekea nyuma wala si mbele,+