-
2 Wafalme 10:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Alipokuwa akienda kutoka hapo, akakutana na Yehonadabu+ mwana wa Rekabu+ akija kumpokea. Alipombariki,+ akamwambia: “Je, moyo wako ni mnyoofu kunielekea mimi, kama vile moyo wangu ulivyo kuuelekea moyo wako?”+
Ndipo Yehonadabu akasema: “Ndiyo.”
“Ikiwa ndivyo, nipe mkono wako.”
Kwa hiyo akampa mkono wake. Basi akampandisha ndani ya gari pamoja naye.+
-