- 
	                        
            
            Yeremia 36:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
6 Basi wewe ndiye utakayeingia na kusoma kwa sauti maneno ya Yehova yaliyo katika kitabu cha kukunjwa ulichoandika nilipokuwa nikiyasema. Yasome watu wakisikia katika nyumba ya Yehova siku ya kufunga; basi utawasomea watu wote wa Yuda wanaokuja kutoka katika majiji yao.
 
 -