6 Na wewe mwenyewe utaingia na kusoma kwa sauti katika kitabu cha kukunjwa ambacho umeandika kupitia kinywa changu maneno ya Yehova+ masikioni mwa watu katika nyumba ya Yehova katika siku ya kufunga;+ na pia masikioni mwa Yuda wote wanaoingia kutoka katika majiji yao unapaswa kuyasoma kwa sauti.+