Yeremia 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Baruku mwana wa Neria akafanya yote ambayo nabii Yeremia alimwamuru; akasoma kwa sauti maneno ya Yehova yaliyokuwa katika kile kitabu cha kukunjwa kwenye nyumba ya Yehova.+
8 Basi Baruku mwana wa Neria akafanya yote ambayo nabii Yeremia alimwamuru; akasoma kwa sauti maneno ya Yehova yaliyokuwa katika kile kitabu cha kukunjwa kwenye nyumba ya Yehova.+