- 
	                        
            
            Yeremia 36:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
14 Ndipo wakuu wote wakamtuma Yehudi mwana wa Nethania mwana wa Shelemia mwana wa Kushi kwa Baruku, wakisema: “Njoo na kitabu cha kukunjwa ulichosoma mbele ya watu.” Baruku mwana wa Neria akabeba kile kitabu cha kukunjwa mkononi mwake na kuingia walimokuwa.
 
 -