14 Ndipo wakuu wote wakamtuma Yehudi+ mwana wa Nethania mwana wa Shelemia mwana wa Kushi kwa Baruku,+ na kusema: “Kile kitabu cha kukunjwa ambacho ulisoma kwa sauti masikioni mwa watu—kichukue mkononi mwako uje.” Basi Baruku mwana wa Neria akakichukua kile kitabu mkononi mwake, akaingia kwao.+