29 Nawe unapaswa kusema hivi dhidi ya Mfalme Yehoyakimu wa Yuda: ‘Yehova anasema hivi: “Umekiteketeza kitabu hiki cha kukunjwa na kusema, ‘Kwa nini umeandika ndani yake, “Mfalme wa Babiloni atakuja hakika na kuiharibu nchi hii na kumwangamiza mwanadamu na mnyama kutoka humu”?’+