-
Yeremia 36:29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Nawe unapaswa kusema hivi juu ya Yehoyakimu mfalme wa Yuda, ‘Yehova amesema hivi: “Wewe mwenyewe umekiteketeza hiki kitabu cha kukunjwa,+ ukisema, ‘Kwa nini umeandika juu yake,+ ukisema: “Mfalme wa Babiloni atakuja bila shaka na hakika ataiharibu nchi hii na kumkomesha mwanadamu na mnyama kutoka ndani yake”?’+
-