-
Yeremia 37:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Lakini alipofika kwenye Lango la Benjamini, ofisa aliyesimamia walinzi, aliyeitwa Iriya mwana wa Shelemia mwana wa Hanania, akamkamata nabii Yeremia na kumwambia: “Unakimbia kwenda kwa Wakaldayo!”
-