13 Basi ikawa kwamba alipokuwa katika Lango la Benyamini,+ yule ofisa aliyekuwa mwangalizi ambaye jina lake lilikuwa Iriya mwana wa Shelemia mwana wa Hanania, alikuwa hapo. Mara moja akamshika Yeremia nabii, akisema: “Unakimbia kwenda kwa Wakaldayo!”