17 Kisha Mfalme Sedekia akaagiza aletwe, naye mfalme akaanza kumuuliza maswali kisiri katika nyumba yake.+ Akamuuliza, “Je, kuna neno lolote kutoka kwa Yehova?” Yeremia akasema: “Lipo!” naye akaendelea kusema: “Utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babiloni!”+