- 
	                        
            
            Yeremia 38:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
10 Ndipo mfalme akamwamuru hivi Ebed-meleki Mwethiopia: “Chukua watu 30 kutoka mahali hapa, nawe umvute nabii Yeremia kutoka katika tangi hilo kabla hajafa.”
 
 -