Yeremia 41:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Sasa Ishmaeli akazitupa maiti zote za watu aliowaua ndani ya tangi kubwa la maji, tangi ambalo Mfalme Asa alitengeneza kwa sababu ya Mfalme Baasha wa Israeli.+ Hilo ndilo tangi ambalo Ishmaeli mwana wa Nethania alilijaza maiti za watu waliouawa.
9 Sasa Ishmaeli akazitupa maiti zote za watu aliowaua ndani ya tangi kubwa la maji, tangi ambalo Mfalme Asa alitengeneza kwa sababu ya Mfalme Baasha wa Israeli.+ Hilo ndilo tangi ambalo Ishmaeli mwana wa Nethania alilijaza maiti za watu waliouawa.