Yeremia 41:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Sasa lile tangi la maji ambamo Ishmaeli+ aliitupa mizoga yote ya wale watu ambao aliwaua lilikuwa tangi kubwa, ambalo Mfalme Asa alitengeneza kwa sababu ya Baasha mfalme wa Israeli.+ Hilo ndilo Ishmaeli mwana wa Nethania alilijaza wale waliouawa.
9 Sasa lile tangi la maji ambamo Ishmaeli+ aliitupa mizoga yote ya wale watu ambao aliwaua lilikuwa tangi kubwa, ambalo Mfalme Asa alitengeneza kwa sababu ya Baasha mfalme wa Israeli.+ Hilo ndilo Ishmaeli mwana wa Nethania alilijaza wale waliouawa.