Yeremia 46:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Misri inakuja kama Mto Nile,+Kama mito iliyofurika maji,Nayo inasema, ‘Nitapanda na kuifunika dunia. Nitaliangamiza jiji na wale wanaokaa humo.’
8 Misri inakuja kama Mto Nile,+Kama mito iliyofurika maji,Nayo inasema, ‘Nitapanda na kuifunika dunia. Nitaliangamiza jiji na wale wanaokaa humo.’