Yeremia 46:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Misri inakuja kama Mto Nile,+ na kama mito maji yanajirusha.+ Nayo inasema, ‘Nitapanda. Nitaifunika dunia. Nitaliangamiza kwa urahisi jiji na wale wanaokaa ndani yake.’+
8 Misri inakuja kama Mto Nile,+ na kama mito maji yanajirusha.+ Nayo inasema, ‘Nitapanda. Nitaifunika dunia. Nitaliangamiza kwa urahisi jiji na wale wanaokaa ndani yake.’+