-
Yeremia 49:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 “‘Tazama, ninakuletea jambo la kutisha,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi,
‘Kutoka kwa wale wote wanaokuzunguka.
Utatawanywa kila upande,
Na hakuna atakayewakusanya wale wanaokimbia.’”
-