5 “‘Tazama, ninaleta juu yako jambo lenye kutia hofu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, ‘kutoka kwa wale wote wanaokuzunguka pande zote. Na hakika ninyi mtatawanywa, kila mmoja upande wake mwenyewe,+ na hapatakuwa na yeyote anayewakusanya pamoja wale wanaokimbia.’”