-
Yeremia 49:37Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
37 “Nitawavunjavunja Waelamu mbele ya maadui wao na mbele ya wale wanaotaka kuwaua; nami nitawaletea msiba, hasira yangu inayowaka,” asema Yehova. “Nami nitautuma upanga uwafuate mpaka nitakapowaangamiza kabisa.”
-